Kocha wa zamani wa FC Porto, Julen Lopetegui ametangazwa kuwa kocha mpya wa timu ya Taifa ya Spain akirithi mikoba ya Kocha Vicente Del Bosque aliyeondoka baada ya kufanya vibaya katika michuano ya Euro 2016 France.

Julen,49, ambaye aliwahi kuwa mchezaji alikuwa kipa, amewahi pia kufundisha timu ya Taifa ya Spain chini ya miaka 19 na Chini ya miaka 21.
No comments:
Post a Comment