Wednesday, July 20, 2016

Picha: Man United waenda kujifua China

Klabu ya Manchester united wameenda Nchini China katika kujiandaa na msimu mpya.Wakiwa huko China, United watacheza mechi mbili ya kwanza watacheza na klabu ya Borussia Dortmund mjini Shanghai, siku ya ijumaa na kisha jumatatu watacheza na Manchester Man City,jijini Beijing.
article-3697765-366C521800000578-830_636x382

Wameenda jumla ya wachezaji 25 ndio wako kwenye msafara wa timu hiyo wakiwamo nyota wapya Eric Bailly na Henrikh Mkhitaryan pamoja na Chipukizi tisa toka chuo cha soka cha Man United, huku wachezaji wengine walioshiriki michuano ya ulaya wakiachwa kuendelea kupumzika.
Man United wanakwenda katika ziara hiyo wakiwa chini ya kocha wao mpya Jose Mourhino mwenye kibarua cha kurudisha thamani ya timu hiyo.
366B1AE300000578-3697765-The_Manchester_United_squad_have_jetted_off_to_China_as_part_of_-m-1_1468948330507

366B140100000578-3697765-United_s_players_are_ready_for_pre_season_to_go_up_a_gear_in_Chi-a-75_1468943729152

No comments:

Post a Comment

Powered By Blogger